Western Kenya leaders push for Deputy President position in 2027

By Bonface Mulyungi

A section of Kenya Kwanza leaders from Western Kenya say they will push for the position of Deputy President come 2027, declaring it is their turn.

Speaking in Khwisero in Kakamega County on Friday, the politicians led by the National Assembly Speaker Moses Wetangula said they will rally the region to re-elect President William Ruto come 2027 owing to his development record.

“Tulianza kusimama na Mzee Odinga, alafu Raila tukaskuma gurudumu ya Raila na sasa tutembee pamoja, tuende kule Sugoi tuzungumze na Rais Ruto tumwambie tumekusukuma term one, tumekupa two-term, ikifika wakati wetu, nawe pia usimame nyuma yetu,” said Wetangula.

Bungoma Senator Wakoli Wafula said: “Ruto akitoa mguu, Weta anaweka…ndio 2032 ikifika, Weta anajua State House inakaa namna gani…”

President Ruto’;s aide Farouk Kibet added: “Wale wanasema Waluhya wasikuwe rais waende wasiende? Weta anatosha hatoshi? Mnataka kuendesha Kenya? Baada ya Rift Valley ikuje hapa ama isikuje? 2032 lazima Mluhya akalie kiti rais wa Kenya.”

Additionally, they rallied locals to get ready for the polls come next year, saying it was the pre-requisite to more development in the region.

Bungoma Governor Ken Lusaka said: “Kama mtu ameanza kazi nzuri, ni vyema kuwacha amalize. Si Luaka anasema, ni Bibilia inasema. Kwa hivo nasema kwamba William Ruto kuna mambo alituahidi kwamba atafanya, na tmeanza kuona kazi ikifanyika wakati huu.”

Another group of Kenya Kwanza politicians toured Konoin Constituency where they downplayed the Western leaders’ quest for the number two position, saying it is a preserve of Prof. Kithure Kindiki.

Public Service Cabinet Secretary Geoffey Ruku said: “Kila siku wakiamka ni kiti ya naibu wa rais…kiti ya naibu wa rais ni kiti imekaliwa sawasawa mpaka 2032.”